Ukaribisho

profile

Dkt. Alexander Jeremia
Mkurugenzi wa hospital

Karibu katika tovuti rasmi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi-Sokoine. Tunafurahi kuwa umetembelea tovuti yetu na tunakualika ujue zaidi juu ya Sokoine RRH na utafute fursa ambazo zinapatikana kupitia hospitali yetu. Tovuti hii ni zana muhimu ya kutusaidia kujihusisha na wewe. Sokoi...

Read more

Huduma tunazotoa All

Tuna toa huduma za kibingwa zifuatazo

1. Huduma ya kibingwa za watoto(paediatrics specialist)

2. Huduma ya kibingwa kwa magonjwa ya kina mama(Obstretic and gynaecology specialist)

3. Huduma za kibingwa za upasuaji(general surgery specialist).

readmore

PARASITOLOGICAL UNITS

This unit is responsible for diagnosis of most parasitic organisms in urine, stool and blood. For malaria diagnosis both rapid and conventional test methods are applied. Other test done in this unit include Bence Jones proteins an...

readmore

Matukio All

Habari mpya All

Muda wa kuona wagonjwa

Jumatatu-jumapili

  • From 06:30 to 07:30
  • From 12:30 to 13:30
  • From 16:30 to 18:00

Klini za Leo All

Elimu ya Afya All

FAHAMU KUHUSU HOMA YA INI

UGONJWA WA HOMA YA INI NA MAMBO MUHIMU KUFAHAMU

 

 

Ini ni kiungo muhimu sana ndani ya miili yetu, hufanya kazi zaidi ya 500 ; moja ya kazi ni kuchuja na kuondoa sumu kutoka kwenye damu.

Kutokana na sababu mbalimbali kama po... read more

JUA UGONJWA WA KISUKARI,CHAZO CHAKE,DALILI NA TIBA YAKE

Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni magonjwa ambayo hayasambazwi kwa mtu mwingine kwa kuwa hakuna vimelea mwilini vinavyohusiana na magonjwa hayo. Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni kama ya moyo na mishipa ya damu, figo, saratani, kifua sugu, kisukari, magonjw...

read more
Fahamu kuhusu virusi vya Corona na ugonjwa wa COVID-19

Fahamu kuhusu virusi vya Corona na ugonjwa wa COVID-19

Virusi vya Corona vimeingia Afrika Mashariki baada ya mgonjwa wa kwanza kuripotiwa nchini Kenya. Najua unaweza kuingiwa wasiwasi. Lakini usiogope.

 

Hiki ni kirusi cha aina gani?

 

... read more

Ministry Content All